Saturday, August 10, 2019

GARI LA TIF LAPATA AJALI IRINGA.

Gari la Taasisi ya The Islamic Foundation yenye makao yake makuu mkoani Morogoro limepata ajali mkoani iringa na kujeruhi.


Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Ibrahim Twaha, ilisema gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser  T.198 AHE lilikuwa na watu watatu na kwamba hakuna aliyepoteza masiha.


Alisema ajali hiyo imetokea mkoani Iringa ambapo walikuwa wakienda kununua Ng'ombe sehemu kilomita 50 kutoka Iringa mjini, kwaajili ya kuchinja siku ya sikukuu ya Iddi.

No comments:

Post a Comment