Sunday, July 31, 2016

WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWAD LOWASA, AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU SENGA LEO JIJINI DAR ES SALAAM.



Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akizungumza na Aliyekuwa mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa (kushoto) wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa mpigapicha mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima, Joseph Senga, katika Viwanja vya Vatican Sinza, Dar es Salaam, jana. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Freeman Mbowe na Mjumbe wa chama hicho,Khamis Mgeja.
 

Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe,akizungumza katika viwanja hivyo wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga
 

Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe,akizungumza katika viwanja hivyo wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Joseph Senga
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akitoa salamu za pole kwa niaba ya serikali katika viwanja vya Vatican Sinza Dar es Salaam,leo
 
Mbunge wa Jimbo la Sumve,Richard Ndasa,akitoa heshima za mwisho
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Freeman Mbowe, akiinamisha kichwa chini kama ishara ya kutoa heshima za mwisho katika jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mpigapicha Mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima,Marehemu Joseph Senga katika viwanja vya Vatican Sinza,Dar es Salaam leo.


Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy, akitoa heshima za mwisho.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFuMQy5UR0nJLQR_sa_dIx5wowUtFlyPVTN7J-4EXcbc58wg-_f7p9lQOGIHhsya_pVr1iaE5BABRrhdkwePR7yKSjg4gdPft9ExVeUjXKfw7F2imTEi9xpQ2NCQY7iobb3_avaNf8qQU/s1600/32.JPG

 Mhariri wa Gazeti la Championi, Salehe Ally, (mwenye tisheti nyeupe) akitoa heshima za mwisho
 

Mhariri wa Gazeti la Raia Tanzania,Joseph Rupia Beda akitoa heshima za mwisho
 

Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Tanzania Daima,Ibrahim Yamola,akitoa heshima za mwisho
 

Mmiliki wa Blog ya Sufian Maphoto,Sufian Muhidin, akitoa heshima zake 
za mwisho
 
Mpiga picha wa Channel Ten, Khamis Suleiman akitoa heshima za mwisho
 

Mpigapicha wa Gazeti la Tanzania Daima,Francis Dande,akitoa heshima za mwishoo

picha zote na Elisa Shunda.