Posts

UGANDA–TANZANIA OIL PIPELINE AND REFINERY PROJECT REFLECT THE SUCCESS OF ECONOMIC DIPLOMACY

Image
  By Albert Kawogo THE Uganda–Tanzania oil pipeline project, together with plans to construct an oil refinery, represents one of the clearest examples of how economic diplomacy can be transformed into tangible development opportunities.  The cooperation between the two neighbouring countries demonstrates that diplomacy is no longer limited to political relations, official visits and bilateral agreements, but can also become a powerful instrument for attracting investment, expanding trade, strengthening energy security and creating opportunities for sustainable economic growth. The development of the East African Crude Oil Pipeline and the proposed refinery reflects the growing strategic partnership between Uganda and Tanzania in the energy sector. Both countries have recognised that cooperation in strategic economic areas can generate benefits that extend beyond their respective national borders.  By working together, Tanzania and Uganda are creating an integrated energy ...

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATANO TAREHE 12 AGOSTI 2026

Image
 

MAKAMU WA RAIS DKT. NCHIMBI AFUNGUA DAKHALIA YA SKULI YA SEKONDARI YA HASNUU MAKAME ZANZIBAR.

Image
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli zote zinakuwa na miundombinu ya kisasa, walimu wenye sifa, na vifaa stahiki vya kufundishia na kujifunzia. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Jengo la Dakhalia katika Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame iliyopo Kibuteni Unguja, Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra ya Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival 2026). Amesema jitihada za Serikali katika kuimarisha miundombinu ya elimu ni endelevu ambazo zinajumuisha upatikanaji wa vifaa vya kufundishia, samani na upatikanaji wa walimu wenye sifa. Makamu wa Rais amesema lengo la uwekezaji huo, ni kuandaa vijana wenye maarifa, ubunifu na ujuzi utakao wawezesha kujitegemea na kuchangia kikamilifu katika ujenzi wa Taifa.  Amewasihi kutunza Dakhali hiyo na miundombinu mingine ya elimu kwa umakini mkubwa.  Ametoa rai kwa Wananchi, Wazazi na walezi w...

RAIS SAMIA AMJULIA HALI MAMA FATMA KARUME.

Image
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mama Fatma Karume, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Lumumba, Zanzibar, tarehe 11 Agosti, 2026.

DIWANI WA KEREGE BAGAMOYO, AFIKISHA KILIO CHA WANANCHI DAWASA.

Image
  Na Mwandishi wetu, Bagamoyo. Mhe. Diwani wa kata Kerege ndugu Yusuph Ngoroge Augost tarehe 10, 2026 alifanikiwa kufika ofisi za Dawasa Mapinga kujadiliana na Meneja wa Dawasa tawi la Mapinga kuhusu changamoto ya maji ya vitongoji vya Kitonga, Nyakahamba na Kilemela. Akizungumza na Mwandishi wa Habari hizi mara baada ya kutoka ofisi za DAWASA Mapinga, Diwani huyo wa kata ya Kerege, Mhe. Ngoroge, amesema Kitongoji cha Kitonga kimekuwa na changamoto ya maji kwa zaidi ya miaka mitatu sasa ambapo maji hayatoki kwa wakati. Alisema Kitongoji cha Kitonga ndio kuna kituo cha Afya ambapo matumizi ya maji ni makubwa kulingana na umuhimu wake. Mh. Diwani alifikisha kilio hicho kwa niaba ya wananchi wake ambao wamekuwa wakikosa maji kwa muda mrefu hali inayoleta usumbufu kwa wananchi wa vitongoji hivyo. Meneja alipokea changamoto na kukubaliana na Mhe. Diwani kuwa siku ya Ijumaa Augost 14, 2026  watatembelea maeneo yote ili kuona jinsi ya kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo. Meneja huyo wa ...

DKT. NCHIMBI AWASILI ZANZIBAR, NI MGENI RASMI UZINDUZI WA JENGO LA DAKHALIA SKULI YA HUSNUU MAKAME

Image
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Zanzibar, leo tarehe 11 Agosti 2026.  Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Ufunguzi wa Jengo la Dakhalia katika Skuli ya Sekondari ya Husnuu Makame – Kibuteni Unguja, ikiwa ni shamrashamra ya Tamasha la Kizimkazi. (Kizimkazi Festival 2026)