Thursday, June 17, 2021

MADIWANI WA BAGAMOYO WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MJINI DODOMA.

May be an image of 8 people, including Maine Masukuzi, people sitting and indoor

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bgamoyo, Mohamed Usinga akiongoza msafara wa Madiwani wa Halmashauri hiyo kutembelea ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa ukaribisho maalum wa Mbunge wa Bagamoyo, Muharam Mkenge.

May be an image of 19 people, including Abdul Pyalla and people standing 

Madiwani wa Halmashauri ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, pamoja na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallaah Ulega, nje ya Ukumbi wa Bunge mara baada ya Madiwani hao kutembelea bungeni kwa mwaliko wa Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Muharam Mkenge.

May be an image of 2 people and people standingMay be an image of 11 people and people standing

Madiwani wa Halmashauri ya Bagamoyo, wakimsikiliza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi, nje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya madiwani hao kutembelea Bungeni kwa mwaliko wa Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Muharam Mkenge.

May be an image of 6 people, including Abdul Pyalla and people standing 

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Muharam Mkenge. (kulia) akitoa akiwatambulisha wageni wake (Madiwani wa Halmashauri ya Bagamoyo) kwa Wawaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi pamoja na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallaah Ulega mara baada ya Madiwani hao kutembelea Bungeni.

May be an image of 7 people, people standing and outdoors  

Madiwani wa Halmashauri ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja na Mbunge wa jimbo la Bagamoyo, Muharam Mkenge pamoja na Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, nje ya ukumbi wa Bunge.

 

Wednesday, June 16, 2021

RAIS SAMIA AFUNGUA JENGO LA OFISI YA BENKI KUU YA TANZANIA TAWI LA MWANZA

 No description available. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta utepe pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa Florens Luoga kufungua Jengo la Ofisi ya Benki Kuu ya Tanzania tawi la Mwanza katika sherehe zilizofanyika Jijini Mwanza leo tarehe 13 Juni, 2021.

No description available.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa Florens Luoga, Waziri wa Madini Doto Biteko, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi pamoja na viongozi mbalimbali akikata utepe kufungua Jengo la Ofisi ya Benki Kuu ya Tanzania tawi la Mwanza katika sherehe zilizofanyika Jijini Mwanza leo tarehe 13 Juni, 2021.