Friday, November 26, 2021

WAZIRI AWESO NA DC ZAINAB WAHITIMU SHAHADA ZA UZAMILI.

 No description available. 

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso na mke wake Mh. Bi Zainabu Abdallah ambaye ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja katika sherehe za kuhitimu shahada zao za uzamili chuo kikuu huria Tanzania, sherehe zilizofanyika jana Kikwajuni Zanzibar.

........................................................

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso na mke wake Mh. Bi Zainabu Abdallah ambaye ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, wahitimu shahada zao za uzamili (masters) .

 

Wana ndoa hao walikuwa wakisoma masuala ya uongozi na utawala (masters of arts in governance and leadership) toka chuo kikuu huria Tanzania, Mh. Jumaa Aweso ambaye ni mbunge wa Pangani, tayari ana bachelor of science in chemistry toka chuo kikuu cha Dar es salaam. 

 

Kwa upande wa Mh. Bi Zainabu Abdallah yeye tayari alikuwa na Diploma in Customs & Tax Management (DCTM), Bachelor of Business Administration in Accounting (BBA - Accounts)  Postgraduate Diploma in Economic Diplomacy (PGD - ED) Wanandoa hao wamjaaliwa kuwa na watoto watatu.

No description available. 

 Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso na mke wake Mh. Bi Zainabu Abdallah ambaye ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja katika sherehe za kuhitimu shahada zao za uzamili chuo kikuu huria Tanzania, sherehe zilizofanyika jana Kikwajuni Zanzibar.

No description available. 

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso na mke wake Mh. Bi Zainabu Abdallah ambaye ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja katika sherehe za kuhitimu shahada zao za uzamili chuo kikuu huria Tanzania, sherehe zilizofanyika jana Kikwajuni Zanzibar.

No description available.  

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso na mke wake Mh. Bi Zainabu Abdallah ambaye ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wao, katika sherehe za kuhitimu shahada zao za uzamili chuo kikuu huria Tanzania, sherehe zilizofanyika jana Kikwajuni Zanzibar.

RAIS DK.MWINYI AFUNGUA MASIKITI WA MASJID AL NOOR UNGUJA UKUU KAEPWANI NA KUJUMUIKA KATIKA IBADA YA SALA YA IJUMAA

 No description available.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Masjid Al-Noor Unguja Ukuu Kaepwani Wilaya ya Kati Unguja na (kulia ) Sheikh Feisal Al Kindi na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadid Rashid, na kujumuika na Wananchi wa Unguja Ukuu katika Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika msikiti huo leo.

No description available.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Masjid Al-Noor Unguja Ukuu Kaepwani alipowasili katika viwanja vya Msikiti huo kwa ajili ya ufunguzi wake baada ya kukamilika ujenzi wake na kujumuika na Wananchi wa Kijiji hicho katika Ibada ya Sala ya Ijumaa.

No description available.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.,Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kuufungua Msikiti wa Masjid Al-Noor Unguja Ukuu Kaepwani Wilaya ya Kati Unguja na (kulia kwa Rais) Msimamizi wa Ujenzi wa Msikiti huo Sheikh Feisal Al-kindi na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadid Rashid, hafla ya ufunguzi huo iliyofanyika