Monday, October 31, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AWASILI NCHINI KENYA,APOKELEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS UHURU KENYATA

key1
Rais Dkt John Pombe Magufuli, akilakiwa na Mwenyeji wake, Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta alipokaribishwa Ikulu, Nairobi nchini Kenya leo. Rais Magufuli yupo nchini Kenya kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.key2
Rais Dkt John Pombe Magufuli (kulia) akiwa na Mwenyeji wake, Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta wakipokea salamu za kijeshi, katika viwanja vya Ikulu ya Kenya, Jijini Nairobi leo.key4key5
Rais Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Mwenyeji wake, Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta, alipowasili Ikulu ya Kenya, Jijini Nairobi leo.key6

Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Rais wa Kenya, Mh. Willam Ruto.


DC. BAGAMOYO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA ZAHANATI ZA KEREGE NA MAPINGA PAMOJA NA SHULE YA MSNGI MTAMBANI, WALIMU WATORO, MANESI WATORO KUSHUGHULIKIWA.



Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Mh.  Majidi Mwanga, akiwa na mtoto aliyefika  Kliniki katika Zahanati ya  Mapin ga mapema hii leo, ambapo  mtoto huyo alizawadiwa shilingi elfu  kumi na mkuu wa wilaya.



Kulia ni Daktari wa Zahanati ya  Mapinga, Shabani akielezea baadhi ya changamoto  zilizopo katika zahanati hiyo mapema hii leo mara mkuu  wa wilaya alipotembelea ghaflaili kubaini watumishi  watoro na kuangalia utoaji wa huduma kwa ujumla.





Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Mh. Majidi Mwanga akipata  maelezo kutoka kwa Nesi wa zahanati ya Mapinga mapema hii  leo alipotembelea ghafla.




Daktari Shabani wa Zahanati ya Mapinga akimuonyesha  mipaka ya zahanati hiyo mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Mh. Majidi Mwanga mara  alipotembelea ghafla katika zahanati hiyo mapema hii  leo


Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo akiwa katika Zahanati ya  Kerege mapema hii leo mara  alipofanya  ziara  ya kushtukiza illi kuona utendaji  kazi  katika zahanati hiyo, kulia ni Daktari Asha wa zahanati hiyo



Daktari Asha wa zahanati ya  kerege akimuonyesha  mkuu wa wilaya  kitu  katika zahanati hiyo maraalipotembelea ghafla mapema hii leo