Monday, August 7, 2023

RAIS DKT SAMIA AWASILI MKOANI MBEYA KWAAJILI YA SIKUKUU YA NANENANE


 Rais wa Jamhuri ya Muungano *Dkt, Samia Suluhu Hassan* leo August 07, 2023 amewasili *Uwanja wa Ndege wa Songwe* kwaajili ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya wakulima *(Nanenane)* yatakayofanyika Siku ya Kesho *August 08* Mkoani Mbeya.


Baada ya kuwasili *Mhe. Samia* amepokelewa na kusalimiana na *Viongozi* mbalimbali waliojitokeza Uwanjani hapo kwaajili ya kumpokea.


Maonyesho ya Siku ya Wakulima *Nanenane* kwa mwaka 2023 yameambatana na kauli mbiu isemayo *“Vijana na Wanawake ni msingi imara wa mfumo endelevu wa chakula”.*


Fuatilia mitandao yetu ya kijamii 

Instagram: @mamakajatz

Twitter @mamakajatz

Facebook: Mamakajatz

YouTube: Mama kaja tz 


#Mamakaja






 



No comments:

Post a Comment