Friday, August 18, 2023

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AONDOKA NCHINI ANGOLA

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 18 Agosti 2023 akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Jijini Luanda nchini Angola mara baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC). (kushoto ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango)



No comments:

Post a Comment