Sunday, August 20, 2023

RAIS DKT. SAMIA AMTEMBELEA MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI SARAKIKYA

 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa kwanza Mstaafu Jenerali Mrisho S. Sarakikya wakati alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Mkoaranga Wilaya ya Arumeru Arusha leo tarehe 20 Agosti, 2023.



No comments:

Post a Comment