Tuesday, August 8, 2023

DKT. MPANGO ASHIRIKI MKUTANO WA PILI WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA NCHI 25 ZA AFRIKA, WANACHAMA WAZALISHAJI WA ZAO LA KAHAWA

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 za Afrika Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa unaofanyika Kampala nchini Uganda leo tarehe 08 Agosti 2023.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiongozana na viongozi mbalimbali wa Afrika kuelekea katika Ukumbi wa Mikutano wa Speke Munyonyo uliopo Kampala nchini Uganda kushiriki Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 za Afrika Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa leo tarehe 08 Agosti 2023.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiungana na viongozi wengine pamoja na wadau wa zao la kahawa katika kuimba wimbo wa Taif awa Uganda wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 za Afrika Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa unaofanyika Kampala nchini Uganda leo tarehe 08 Agosti 2023.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakifuatilia mawasilisho mbalimbali wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 za Afrika Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa unaofanyika Kampala nchini Uganda leo tarehe 08 Agosti 2023.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Afrika mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 za Afrika Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa unaofanyika Kampala nchini Uganda leo tarehe 08 Agosti 2023.


No comments:

Post a Comment