MAPOKEZI YA CDE KAWAIDA OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKAO MAKUU YA UVCCM TAIFA

 


UVCCM TAIFA
05 AGOSTI, 2023

📍📍 _Upanga Dar es salaam_

*

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Ndugu Mohamed Ali kawaida (MCC) amewasili ofisi ndogo za Makao Makuu ya UVCCM Taifa ambapo anaongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa tarehe 05 Agosti, 2023.

Makamu Mwenye wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Rehema Sombi Omary (MNEC) Amewaongoza Wajumbe wa kamati ya Utekezaji pamoja na Watumishi wa Jumuiya katika mapokezi ya Ndugu Kawaida.

Imetolewa Na:

Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa

#SautiYaVijana
#MtumishiWenu
#SautiYenu
#KulindaNaKujengaUjamaa
#SisiNaMamaMleziWaWa





Comments

Popular posts from this blog

TANZANIA KUPATA DOLA MILIONI 41 ZA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIANCHI

BAGAMOYO: MJI WA KIHISTORIA UNAONGOJEA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI KUPITIA BANDARI MPYA

KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MJI BAGAMOYO NANENANE

SAMIA URGES FASTER INFRASTRUCTURE DELIVERY ACROSS AFRICA.

VERONICA MREMA WA TANZANIA AINGIA SITA BORA TUZO ZA ISU ELIHLE 2026 AFRIKA