Sunday, August 6, 2023

MAPOKEZI YA CDE KAWAIDA OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKAO MAKUU YA UVCCM TAIFA

 


UVCCM TAIFA
05 AGOSTI, 2023

📍📍 _Upanga Dar es salaam_

*

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Ndugu Mohamed Ali kawaida (MCC) amewasili ofisi ndogo za Makao Makuu ya UVCCM Taifa ambapo anaongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa tarehe 05 Agosti, 2023.

Makamu Mwenye wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Rehema Sombi Omary (MNEC) Amewaongoza Wajumbe wa kamati ya Utekezaji pamoja na Watumishi wa Jumuiya katika mapokezi ya Ndugu Kawaida.

Imetolewa Na:

Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa

#SautiYaVijana
#MtumishiWenu
#SautiYenu
#KulindaNaKujengaUjamaa
#SisiNaMamaMleziWaWa





No comments:

Post a Comment