Saturday, August 19, 2023

RAIS DKT. SAMIA NA WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFUNGUA KIKAO KAZI ARUSHA.

 

NI UFUNGUZI WA KWANZA WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI NA WAKURUGENZI WA MASHIRIKA YA UMMA NA SERIKALI.*


Na Lucas Myovela _ Arusha.


Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa Kufungua kikao kazi cha wenyeviti na Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma pamoja na Taasisi za kiserikali, Pia anatarajiwa kuhudhuria kwenye kilele cha maadhimisho ya Miaka 60 ya kanisa la KKKT ambapo matukio yote hayo yatafanyika Jijini Arusha.


Akiongea na waandishi wa Habari Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela Mapema Agosti 18, 2023, amesema kuwa Mhe, Rais Samia Suluhu Hassan, Mnanmo tarehe 19/8/2023, atafungua kikao kazi cha Wenyeviti na Wakurugenzi wa mashirika ya umma na Taasisi za Serikali,utakaofanuika Ukumbi wa mikutano ya kimataifa, AICC Jijini Arusha.


Pia Mongela ameeleza kuwa kuwa tarehe 21/8/2023, Mhe, Rais Samia, atakuwa mgeni rasmi kwenye madhimisho ya miaka 60 ya Kanisa la Kiinjili la kiluthe

No comments:

Post a Comment