DKT. BITEKO ATETA NA KAMPUNI YA SOTTA MINING DODOMA

Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko leo Agosti 3, 2023 jijini Dodoma amekutana na Uongozi wa Juu wa Kampuni ya Sotta Minerals Corporation Limited ambayo ni ya ubia Kati ya Serikali na kampuni ya Orecorp Tanzania limited ya Australia inayosimamia Mradi wa uchimbaji madini ya dhahabu uliopo wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.

Kupitia Mkutano huo, kampuni ya Sotta imeeleza maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo ambao unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka 2025.

Aidha, Dkt. Biteko ameelezwa kuwa, hivi sasa kampuni iko kwenye hatua za mwisho za kuweza kuwalipa fidia wananchi walio ndani ya eneo la mradi ili kuwezesha mradi huo kuanza. 





 

Comments

Popular posts from this blog

TANZANIA KUPATA DOLA MILIONI 41 ZA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIANCHI

BAGAMOYO: MJI WA KIHISTORIA UNAONGOJEA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI KUPITIA BANDARI MPYA

KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MJI BAGAMOYO NANENANE

SAMIA URGES FASTER INFRASTRUCTURE DELIVERY ACROSS AFRICA.

VERONICA MREMA WA TANZANIA AINGIA SITA BORA TUZO ZA ISU ELIHLE 2026 AFRIKA