Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ametembelea Banda la Halmashauri ya Mji Bagamoyo katika maonesho ya Nanenane kanda ya mashariki Mkoani Morogoro.
Dkt Jakaya amewasalimu Wajasiliamali wote waliokuwa katika Banda na watumushi wote pamoja na kuona bidhaa walizonazo katika maonesho hayo huku akipendezwa na ubunifu wao katika bidhaa zao.
Halmashauri ya Mji Bagamoyo imeendelea kuwa washiriki wazuri katika maonesho ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Nanenane kwa kuendelea kuwa wabunifu wa utengenezaji wa Bidhaa mbalimbali kwa kila Mwaka.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ametembelea Banda la Halmashauri ya Mji Bagamoyo katika maonesho ya Nanenane kanda ya mashariki Mkoani Morogoro.
Dkt Jakaya amewasalimu Wajasiliamali wote waliokuwa katika Banda na watumushi wote pamoja na kuona bidhaa walizonazo katika maonesho hayo huku akipendezwa na ubunifu wao katika bidhaa zao.
Halmashauri ya Mji Bagamoyo imeendelea kuwa washiriki wazuri katika maonesho ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Nanenane kwa kuendelea kuwa wabunifu wa utengenezaji wa Bidhaa mbalimbali kwa kila Mwaka.












No comments:
Post a Comment