Saturday, September 24, 2016

RAIS MAGUFULI AMTEUA DKT. ZAINABU CHAULA KUWA NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI

004
Aliyekuwa Mganga Mfawidhi hospitali ya Rufaa ya Dodoma Dkt. Zainabu Chaula (kushoto) ambaye Rais Magufuli amemteua  kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI ) katika moja ya matukio  hospitali ya rufaa ya Dodoma akionekana kukabidhiwa msaada wa mto wa kulalia na Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kati,Mruta Hamisi kwa ajili ya wodi ya watoto hospitalini hapo.
.................................
 

No comments:

Post a Comment