Tuesday, September 20, 2016

GEREZA LA WILAYA TUKUYU MFANO WA KUIGWA KWA KILIMO CHA CHAI MKOANI MBEYA

mage1
Mkuu wa Gereza la Tukuyu, Mkoani Mbeya, Mrakibu Mwandamizi, SSP. Prosper Kinyaga akionesha  sehemu ya  eneo lenye ekari 26  linaloendesha Kilimo cha chai katika gereza hilo.
 mage2

Wafungwa wa Gereza la Tukuyu, Mkoani Mbeya  wakivuna chai katika Shamba la Gereza hilo kama inavyoonekana katika picha.
 mage3

Muonekano wa baadhi ya mashamba ya Kilimo cha chai katika Gereza Tukuyu. Gereza hilo lilijengwa mwaka 1994 na shughuli zinazofanyika ni Kilimo cha chai, Kilimo cha Migomba, Bustani za mbogamboga pamoja na Utunzaji wa mazingira kwa upandaji miti na ufugaji wa samaki kwa majaribio(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

No comments:

Post a Comment