Saturday, September 17, 2016

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI HAMAD MASAUNI AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA KENYA-NAMANGA

1
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akisalimiana na Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Uhamiaji cha Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari hao kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
 2

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akitoka kukagua mojawapo ya ofisi ya Uhamiaji katika mpaka wa Namanga, Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.
 3

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Hamad Masauni akikagua mpaka wa Tanzania na Kenya (Namanga), Mkoani Arusha wakati alipokwenda kukagua usalama wa mpaka huo ambapo aliwataka Askari wa Uhamiaji katika kituo cha Namanga kuendelea kufanya Oparesheni za mara kwa mara ili kuhakikisha hakuna wahamiaji haramu ambao watapita katika mpaka huo.Katikati ni Mkuu wa kituo cha uhamiaji Namanga, Abdalah Katimba na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Arusha, Bw. Mwakipesile.
(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani).

No comments:

Post a Comment