Sunday, October 9, 2016

KKKT DAYOSISI YA IRINGA YAPATA ASKOFU MPYA

Askofu  wa kanisa la  kiinjili la  Kilutheri  Tanzania (KKKT)  dayosisi
ya  Iringa Dkt  Owdenburg Mdegela katikati  akiwatambulisha  mbele ya
waumini wa kanisa  kuu  askofu  mteule wa dayosisi  hiyo mchungaji
Blaston  Gavile wa  pili kushoto  na mkewe  pamoja na msaidizi wa askofu huyo mchungaji Himid Saga  wa pili  kulia na mkewe.
 

Askofu wa Dododa Mwamasika kushoto  akiwa na askofu mteule wa  dayosisi ya  Iringa Blaston Gavile na mkewe wakimsikiliza askofu wa dayosisi  hiyo Dkt Mdegela
 

Katibu  wa dayosisi ya Iringa Chavala  kulia  akimfuatilia kwa makini askofu wa Dodoma
 

Mchungaji wa usharika wa kanisa  kuu  Mbogo  akiweka sawa  mic
 

Askofu  wa  doyosisi ya  Iringa Dr Mdegela  kulia  akimtambulisha rasmi askofu mteule wa dayosisi hiyo mchungaji Blaston Gavile na mkewe mbele ya  waumini wa kanisa kuu leo
 

Mmoja  wa  wageni  akimpongeza askofu dkt Mdegela  kwa kufanya uchaguzi wa  kihistoria
 

Askofu Dkt Mdegela  akihoji  jambo kwa  mwimbaji wa kwaya ya vijana Onno Mella

No comments:

Post a Comment