Thursday, October 20, 2016

TANGAZO KWA WAJASILIAMALI BAGAMOYO.

Wajasiliamali wote wilayani Bagamoyo mnatangaziwa maonyesho ya wajasiliamali yatakayofanyika  Tarehe 26-30 mwezi huu wa 10 katika viwanja vya  Mwanakalenge Bagamoyo mjini.

Maonyesho hayo yanasimamiwa na shirika  la maendeleo ya viwanda vidogovidogo (SIDO).

Mjasiliamli anaetaka kushiriki kwa kupeleka bidhaa zake awasliane na Afisa biashara wilaya ya Bagamoyo kwamaelezo zaidi.

Atakaepata taarifa hii amjulishe na mwenzie.

Tangazo hili limetolewa na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Bagamoyo.

No comments:

Post a Comment