Wednesday, October 19, 2016

DC BAGAMOYO AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA SHULE ZA MSINGI KUKAGUA WANAFUNZI WATORO NA WALIMU WATORO.

Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majidi Hemedi Mwanga, mwenye miwani, alipoingia shule ya msingi Mwetemo ghafla ili kukagua mahudhurio ya walimu na wanafunzi


Mwalimu mkuu msaidizi shule yamsingi Mwetemo, akitafuta kitabu cha mahudhurio ya walimu ili amuonyeshe mkuu  wa wilaya ya Bagamoyo kulia alipotembelea shule hiyo ghafla.



Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo akiangalia kitabu cha mahudhurio ya walimu katika shule ya msingi  Mwetemo



Mkuu wa wilaya ya  Bagamoyo, Majidi Mwanga akitoka  katika chum ba cha wanafunzi wa darasa la kwanzashule ya msingi Mwetemo.



Mwalimu Aboubakari Omari Juma wa shule ya msingi Mwetemo, akimuaeleza mkuu wa wilaya namna anavyowafundisha wanafunzi kilimo.




Mkuu wawilaya ya Bagamoyo,Majidi  Mwanga  akikagua  shamba darasa katika shule ya msingi Mwetemo.



Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo akiondoka katika shule ya msingi  Mwetemo mara baada ya kufanya ukaguzi  wa kushtukiza, kushoto ni mwalimu   mkuu wa shule hiyo Hassani  Magoto.


Mkuu  wa wilaya ya bagamoyo Majidi Hemedi Mwanga akiwasili katika shule ya msingi Mbwewe.


Mkuu wa wilaya  ya Bagamoyo Majidi Mwanga akikagua Daftari la mwanafunzi mtoro katika shule ya  msingi Mbwewe.


Hebu niambie kwanini unakuwa  mtoro? wa shule, mkuu wa wilaya Majidi Mwanga  alimuuliza mwanafunzi huyo ambae ni mtoro.

Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majid Mwanga akiwasikiliza wananfunzi watoro katika shule ya msingi  Mbwewe ili kuona namna ya kuwasaidia waachane na utoro, kushoto ni mkuuwa shule hiyo Iddi Mkila.


No comments:

Post a Comment