Tuesday, October 11, 2016

DC. SAME ASIMAMIA ZOEZI LA KUTEKETEZA SHAMBA LA MIRUNGI.

Shamba la Mirungi likiteketea baada ya agizo la Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe Rosemary Staki.
 

Wakazi wa Kijiji cha Kisesa Kata ya Vudee wakishuhudia zoezi la uteketezaji wa shambala Mirungi.
 

Mkulima wa zao la Mirungi Johnson Charles Kangara akiwa ameshika mafuta ya taa tayari kwa ajili ya kuteketeza shamba lake la Mirungi.
 

Dc Staki akiwasisitiza wananchi kutojihusisha na kilimo cha zao la Mirungi
 

No comments:

Post a Comment