Thursday, July 7, 2016

SWALA YA EID JANA KATIKA MSIKITI WA MBWENI MASAITI.

Ilikuwa jana katika msikiti wa Mbweni masiti, wakati wa maandalizi ya swala ya Eid.

Imamu wa Msikiti wa Mbweni Ustaadhi, Zubeir Saidi Chungulu, katika maandalizi ya swala ya eid hapo jana.

No comments:

Post a Comment