Wednesday, July 6, 2016

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA LEO BAGAMOYO, SIKU YA IDI MOSI.



Wananchi wa Bagamoyo wakiwa katika ufukwe wa Bahari ya Hindi leo idi mosi.


Gari zote ziliegeshwa hapa kwa wale wanaokwenda ufukweni (Beach) kwa malipo ya shilingi 3,000.


Diwani wa kata ya Dunda Mh. Diksoni Makamba akiangalia usalama wa magari yaliyoegeshwa akishirikiana na vijana wake.

Pikipiki zote ziliegeshwa hapa kwa wale waliokwenda ufukweni na walitozwa kati ya shilingi elfu moja na elfu mbili.






Wananchi wakielekea ufukweni kwajili kufurahia sikukuu ya idilfitri.


Kikosi cha uokoaji na zima moto kikiwa kando ya Bahari ya Hindi kuangalia usalama.


Usafi ulizingatiwa piya viliwekwa vifaa vya kutupia taka ili uchafu usizagae hovyo.

Umati wa watu ukielekea Beach ya Bagamoyo kwa amani na utulivu siku ya Idi mosi.

No comments:

Post a Comment