| Wananchi wa Bagamoyo wakiwa katika ufukwe wa Bahari ya Hindi leo idi mosi. |
| Gari zote ziliegeshwa hapa kwa wale wanaokwenda ufukweni (Beach) kwa malipo ya shilingi 3,000. |
| Diwani wa kata ya Dunda Mh. Diksoni Makamba akiangalia usalama wa magari yaliyoegeshwa akishirikiana na vijana wake. |
| Pikipiki zote ziliegeshwa hapa kwa wale waliokwenda ufukweni na walitozwa kati ya shilingi elfu moja na elfu mbili. |
| Wananchi wakielekea ufukweni kwajili kufurahia sikukuu ya idilfitri. |
| Kikosi cha uokoaji na zima moto kikiwa kando ya Bahari ya Hindi kuangalia usalama. |
| Usafi ulizingatiwa piya viliwekwa vifaa vya kutupia taka ili uchafu usizagae hovyo. |
| Umati wa watu ukielekea Beach ya Bagamoyo kwa amani na utulivu siku ya Idi mosi. |
No comments:
Post a Comment