Friday, July 29, 2016

WILAYA NNE ZAKUTANA BAGAMOYO KUJADILI MSITU WA ZIGUA.

Wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama  za wilaya nne, kutoka kushoto ni Mkuu wa  wilaya ya  Handeni, Godwin Gondwe, wapili kushoto ni mkuu wa wilaya ya Kilindi, Mwl. Sauda Mtondoo, wa tatu ni Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, ambae ndiye Mwenyekiti  wa mkutanohuo, na  wa kwanza kulia  ni mkuu wa wilaya ya Mvomero.
Wajumbe wamkutano wa kamati za ulinzi na usalama za  wilaya nne ambazoni Bagamoyo, Mvomero, Kilindi,na Handeni,wakiwa  katika ukumbi wa Halmashauri ya Bagamoyo  
Wajumbe  wa mkutano wa kamati za ulinzi na usalama za wilaya nne wakifuatilia mkutano huo leo Tarehe 29 Julai 2016
Wajumbe wa mkutano huo wakiwa katika ukumbi wa Halmashauri ya Bagamoyo wakifuatilia mkutano
Meneja Wakala  wa Hifadhi za Misitu Tanzania TFS wilaya ya Bagamoyo, Charles  Mwafute, akiwasilisha mada katika mkutano  huo  wa  kujadili namna ya kuwaondoa  wavamizi wa msitu wa Zigua.
Katikati, ni Mwenyekiti wa mkutano huo mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majid Hemed Mwanga, kutoka  kushoto ni Mwenyekiti wa  Halmashauri ya Chalinze, Saidi Zikatimu, wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya  ya Handeni, Godwin Gondwe, wa  tatu ni Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Sauda Mtondoo, Kutoka  kulia wakwanza ni Meneja waTFS kanda ya Mashariki, Dr. Masota  Abel, wa  pili kutoka kulia  ni Mwenyekiti  wa Halmashauri ya Bagamoyo, Aliy Aliy na wa watatu ni ni mkuu wa wilaya ya Mvomero, Mwl. Mohamed Utaly

No comments:

Post a Comment