| Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete wa pili kulia akipata futari. |
| wa pili kulia ni Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Dkt. Shukuru Kawambwa, akijipatia futari iliyoandaliwa na mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Alhaji, Majid Hemed Mwanga, nyumbani kwake. |
| Waislamu mjini Bagamoyo wakipata futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya ya Bagamoyo jana siku ya jumamosi tarehe 02 Juni 2016. |
Futari tamu
ReplyDelete