Monday, July 4, 2016

SOBA HOUSE BAGAMOYO YAFUTURISHA.

Baadhi ya vijana wanaopata huduma na kulelewa katika kituo cha Life and Hope Sober House Bagamoyo wakijiandaa kupata futari katika kituo hicho kilichopo Ukuni wilayani Bagamoyo.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Alhaji, Majid Hemed Mwanga, akijumuika na wadau mbalimbali kupata futari katika kituo cha Life and Hope Sober House Bagamoyo.
Diwani wa kata ya Dunda Diksoni Makamba akipata futari Sober House.
Kutoka kulia ni mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majid Hemed Mwanga, wakatikati ni Mkurugenzi wa Green Park Slim A. Slim na kushoto ni Mkurugenzi wa Life and hope Sober House Bagamoyo, Karim Banji wakipata futari pamoja.
Katikati ni Katibu tawala wa wilaya ya Bagamoyo bi Elika Liyagela akipata futari pamoja na wananchi katika kituo cha Life and Hope Sober House Bagamoyo.

Mkurugenzi wa Life and Hope Sober House Bagamoyo, Karim Banji akitoa neno la shukrani kwa wadau walioshiriki futari


Afisa tawala wa Green Park Village, Hasim Juma,kushoto akiwa na Mkurugenzi wa Green Park Village Slim A. Slim ambao Hoteli yao ya Green Park ndiyo iliyoshughulika na mapishi ya futari.










No comments:

Post a Comment