Tuesday, July 5, 2016

WATAKAOFANYA FUJO BAGAMOYO SIKU YA SIKUKUU WAONYWA.

Kamati ya ulinzi na usalama Bagamoyo ikiwa kwenye kikao cha cha kujadili sherehe za siku kuu ya Eid el fitri.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Bagamoyo Majid Hemed Mwanga, wa pili kulia, wa tatu kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bagamoyo, Aliy Aliy na wakwanza kulia ni Katibu tawala wa wilaya ya Bagamoyo Bi Elika Liyegela, wakiwa kwenye kikao cha kujidili hali ya usalama kipindi cha sikukuu ya Eid.

No comments:

Post a Comment