BAKWATA YATANGAZA SIKUKUU YA MAULIDI NI TAREHE 25 AGOSTI 2026

 



Baraza Kuu la waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza sikukuu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammadi Swala Allahu Alayhi Wasalam, kuwa ni siku ya jumanne ya tarehe 25 Agosti 2026.


Katika Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu Mkuu BAKWATA, Alhaji, Nuhu Jabiri Mruma, imesema Maulidi itasomwa usiku wa siku ya jumatatu ya tarehe 24 Agosti 2026 katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.


Comments

Popular posts from this blog

HALMASHAURI YA BAGAMOYO YATENGA SHILINGI BILIONI 2, KWA MWAKA 2026/2027.

BIL 31 KUKAMILISHA BARABARA YA LAMI KIBONDO MJINI

KAMATI YA BUNGE (PIC) YAITAKA TANAPA KUBORESHA UWEKEZAJI KATIKA HIFADHI ZA TAIFA.

KAMATI YA UCHUMI UJENZI NA MAZINGIRA BAGAMOYO YAKAGUA MIRADI.

SERIKALI YAPELEKA BIL 370 KUKARABATI RELI YA TABORA-MPANDA

WAFANYABIASHARA WASISITIZWA KUTOA NA KUDAI RISITI HALALI

DC NICKSON SIMON: USHIRIKIANO WA SERIKALI NA NGOs NI NGUZO YA MAENDELEO YA WANANCHI