RAIS DKT. SAMIA ATEMBELEA MJI MKONGWE ZANZIBAR

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya mfano wa Mlango wa Zanzibar (Zanzibar door) baada ya kuwasalimia wazee wa Mji Mkongwe (Stone Town), Zanzibar, tarehe 10 Agosti, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya mfano wa Jahazi wakati alipowatembelea Wananchi wa Jaws Corner katikati ya Mji Mkongwe, Zanzibar tarehe 10 Agosti, 2026.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akicheza mchezo wa bao baada ya kuwasalimia wananchi wa Mji Mkongwe (Stone Town) katika eneo la Jaws Corner, Zanzibar, tarehe 10 Agosti, 2026.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza nyimbo mbalimbali za Taarabu asilia baada ya kuwasili katika eneo la Jaws Corner katikati ya Mji Mkongwe (Stone Town), Zanzibar tarehe 10 Agosti, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na vijana wa Makachu pembezoni mwa bustani ya Forodhani, Zanzibar tarehe 10 Agosti, 2026.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na wananchi wakati akipita kwenye mitaa mbalimbali ya Mji Mkongwe (Stone Town), Zanzibar, tarehe 10 Agosti, 2026.







Comments

Popular posts from this blog

TANZANIA KUPATA DOLA MILIONI 41 ZA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIANCHI

BAGAMOYO: MJI WA KIHISTORIA UNAONGOJEA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI KUPITIA BANDARI MPYA

KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MJI BAGAMOYO NANENANE

SAMIA URGES FASTER INFRASTRUCTURE DELIVERY ACROSS AFRICA.

VERONICA MREMA WA TANZANIA AINGIA SITA BORA TUZO ZA ISU ELIHLE 2026 AFRIKA