Thursday, August 3, 2023

QS KIPANGA AONGOZA FALSAFA YA RAIS SAMIA KATIKA KUSIMAMIA WAWEKEZAJI NA UWEKEZAJI WENYE TIJA NA TAIFA


 KIGALI-RWANDA

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia Mhe Qs Omar Kipanga ameongoza watalaamu mbalimbali kutoka Tanzania katika Mkutano maalumu wa uwekezaji na uwezeshaji uliofanyika Kigali Rwanda Leo 03.08.2023.

Akiziungumza mara baada ya kikao hicho kilichohudhuriwa na wawakilisho wa Tasisi mbalimbali nchini Rwanda kutoka nchi za afrika Mashariki,Ulaya na Asia,

Aidha katika kikao hicho Mhe Qs Omar Kipanga alisema amepokea ujumba maluum kutoka kwa Mhe Rais Samia kuhusu Mazingira Mazuri na salama yenye kuwarahisishia wawekezaji ambao wapo Tayari kuwekeza Tanzania,

*"Serikali ya Awamu ya Sita Rais Dkt Samia na Chama chetu Cha Mapinduzi CCM kimeweka Mazingira rafiki kwa mtu,tasisi ama shirika lolote linalotaka kuwekeza Tanzania basi mje maana tuna Kila kitu ambacho mnakihitaji kwa ajili ya faida ya Taifa alimalizia Mhe Qs Kipanga*"

*"Kwa sasa Tanzania imeamua kuwekeza zaidi kwa faida ya Watanzania wa kizazi Cha Sasa na Baadae Hivyo kwa makusu tumeamua kuwafata na kuwambia kuwa tumeweka Mazingira salama kwa Kila mwekezaji nyanja yoyote Ile muhimu inufaishe taifa na iwe kwa maslah ya taifa alisisitiza Mhe Qs Kipanga*"

*"Tunategea Kutoa fursa za uwezeshaji wenye tija kwa yoyote katika Elimu Sayansi na Teknologia, Utalii, Biashara,Kilimo kikubwa, Uvuvi,Uvumbuzi na Utafiti,Nk Muhimu Kila mmoja anaetaka awe anajua Wazi anakuja Kutoa faida kwa taifa bila ya kuleta matatizo muhimu ajipange alisisitiza Mhe Qs Kipanga"*

Mkutano huo umejumuisha wawekezaji kutoka mataifa ya Israel, Romania, Smart Afrika,na Bank ya Dunia. 






No comments:

Post a Comment