Saturday, November 5, 2016

TANGAZO KWA WALIOSOMA SHULE YA MSINGI NIANJEMA BAGAMOYO.

TANGAZO        TANGAZO           TANGAZO

   Watu wote  walio maliza katika  shule ya msingi Nianjema iliyopo Bagamoyo mjini, wanatangaziwa mkutano utakaofanyika siku ya jumapili tarehe 6/11/2016, katika eneo la shule hiyo saa 3:00 Asubuhi.

  Tangazo hili linawahusu watu woote waliomaliza shule ya msingi nianjema, bila kujali amemaliza mwaka gani, atakae sikia tangazo hili amjulishe na mwenzie.

 Tangazo hili limetolewa na mwanyekiti wa kitongoji cha nianjea A.
Kwa maelezo zaidi piga 0653370250.

No comments:

Post a Comment