TANGAZO KWA WALIOSOMA SHULE YA MSINGI NIANJEMA BAGAMOYO.

TANGAZO        TANGAZO           TANGAZO

   Watu wote  walio maliza katika  shule ya msingi Nianjema iliyopo Bagamoyo mjini, wanatangaziwa mkutano utakaofanyika siku ya jumapili tarehe 6/11/2016, katika eneo la shule hiyo saa 3:00 Asubuhi.

  Tangazo hili linawahusu watu woote waliomaliza shule ya msingi nianjema, bila kujali amemaliza mwaka gani, atakae sikia tangazo hili amjulishe na mwenzie.

 Tangazo hili limetolewa na mwanyekiti wa kitongoji cha nianjea A.
Kwa maelezo zaidi piga 0653370250.

Comments

Popular posts from this blog

DIWANI WA KEREGE BAGAMOYO, AFIKISHA KILIO CHA WANANCHI DAWASA.

DKT. NCHIMBI AWASILI ZANZIBAR, NI MGENI RASMI UZINDUZI WA JENGO LA DAKHALIA SKULI YA HUSNUU MAKAME

BAGAMOYO: MJI WA KIHISTORIA UNAONGOJEA MAPINDUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI KUPITIA BANDARI MPYA

TANZANIA KUPATA DOLA MILIONI 41 ZA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIANCHI

KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MJI BAGAMOYO NANENANE

KAMATI YA UCHUMI UJENZI NA MAZINGIRA BAGAMOYO YAKAGUA MIRADI.