Sunday, November 6, 2016

RC. PWANI, DC. BAGAMOYO, WASHIRIKI UJENZI WA MADARASA SHULE YA MSINGI KIBINDU WILAYANI BAGAMOYO.



Mkuu wa mkoa wa  Pwani Mhandisi Everist Ndikilo akijenga ukuta wa darasa katika ujenzi wa shule ya msingi kibindu akiwa pamoa na Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majid Mwanga.


Wananchi wa kijiji cha kibindu wilayani Bagamoyo wakionyesha ushirikiano wao mbele ya  mkuu  wa wilaya mara baada ya mkuu wa wilaya kuweka kambi  katika shule  hiyo  kushiriki ujenzi wa madarasa



Jeshi  la akiba,(mgambo) nalo halikuwa nyuma katika kushiriki ujenzi huo wa madarasa.



Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo akiwa kwenye ujenzi wamadarasashule ya msingi  Kibindu ambapo alishiriki kazi  zote katika kipindi cha siku nne.



Katikati ni mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo, akiwa  amebeba Tofari, kulia ni m kuu wa wilaya ya Bagamoyo, Majid Mwanga na  kushoto ni Diwani  wa kata ya Kibindu Mkufya Ramadhani Mawazo, wakisomba matofari  kuyasogeza sehemu ya ujenzi.



Kushoto ni kamanda wa polisi mkoa wa Pwani, Kamishna msaidizi wa Polisi, ACP-Boniventure Mushongi akiwa  ameb eba tofari  kwenye  ujenzi wa shule ya msingi Kibindu.



Kulia ni kamanda wa polisi mkoa wa  Pwani, ACP- Boniventure Mushongi, akibeba tofali kushoto ni Afisa wamagereza ASP Yusufu.



Kulia ni mkuu wa  Polisi wilaya ya kipolisi Chalinze, Mrakibu  Mwandamizi wa Polisi,  SSP- Janeth Magomi, akiwa amebeba  Tofari, anaefuata mwenye  nguo nyekundu ni Afisa tarafa kwaruhombo Renitha Luzabico wakishiriki kwenye ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Kibindu.



Mshauri wa mgambo wilaya ya Bagamoyo, Meja Iddi Musira akiwa amebeba tofari kwaajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya  msingi Kibindu.

No comments:

Post a Comment