MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI AKABIDHI VISIMA VITATU VYENYE THAMANI YA SH.MILLION 84.5
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, wa kushoto akiwa na Afisa Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali toka Nchini Omani linaloitwa TUELEKEZANE PEPONI Bw.Nasr Al Jahdhamy wakati wa kukabidhi visima vitatu kwa wananchi wa jimbo hilo. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, wa pili kutoka kushoto anayemfatia ni Afisa Mtendaji Bw.Nasr Al Jahdhamy mwakilishi kutoka Oman na Katibu wa Mbunge Bwana Iddi Swala na Mzee Maokola wakati wa kukabidhi visima vitatu kwa wananchi wa jimbo hilo. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete, akiongea na wananchi wa jimbo hilo akiwa na Afisa Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali toka Nchini Omani linaloitwa TUELEKEZANE PEPONI Bw.Nasr Al Jahdhamy wakati wa kukabidhi visima vitatu kwa wananchi wa jimbo hilo. ................................. Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amekabidhiwa visima Vit...