Friday, September 22, 2017

ROLI LA MIZIGO LAPINDUKA KIWANGWA, BAGAMOYO.

 Gari la mizigo aina ya Isuzu lenye namba za usajili T 207 ARR likiwa na Mzigo limepinduka  eneo la Kiwangwa wilayani Bagamoyo Asubui ya leo Tarehe 22 Septemba 2017, mashuhuda wa ajali hiyo walisema hakuna mtu aliypoteza maisha katika ajali hiyo.
 
Wanachi wa eneo la Kiwangwa wilayani Bagamoyo wakiangalia ambalo limenduka leo Asubuhi, Gari hilo aina ya Isuzu lenye namba za usajili T 207 ARR likiwa na Mzigo limepinduka  eneo la Kiwangwa wilayani Bagamoyo Asubui ya leo Tarehe 22 Septemba 2017, mashuhuda wa ajali hiyo walisema hakuna mtu aliypoteza maisha katika ajali hiyo

 
 Wanachi wa eneo la Kiwangwa wilayani Bagamoyo wakiangalia ambalo limenduka leo Asubuhi, Gari hilo aina ya Isuzu lenye namba za usajili T 207 ARR likiwa na Mzigo limepinduka  eneo la Kiwangwa wilayani Bagamoyo Asubui ya leo Tarehe 22 Septemba 2017, mashuhuda wa ajali hiyo walisema hakuna mtu aliypoteza maisha katika ajali hiyo

No comments:

Post a Comment