Tuesday, January 24, 2017

RAJABU M'BAGA ACHUKUA FOMU YA UENYEKITI WA MAGOMENI B, BAGAMOYO.

Mgombea wa nafasi ya unyekiti wa Kitongoji cha Magomeni 'B' kwa tiketi ya CCM, Rajabu Maliki (M'baga) Akikabidhiwa fomu na Afisa mtendaji wa kata ya Nianjema Cezary Madasha, wanaoshuhudia Diwani wa  kata ya Nianjema, Abdu Piyalla anaepiga picha na simu nyeusi, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kitongoji cha magomeni 'C' Saidi Omari Shomari (Mkono Mfukoni) hapo jana, Tarehe 23 January 2017.
Mgombea wa nafasi ya unyekiti wa Kitongoji cha Magomeni 'B' kwa tiketi ya CCM, Rajabu Maliki (M'baga) Akisaini kuthibitisha kupokea fomu hiyo, hapo jana, Tarehe 23 January 2017.
Mgombea wa nafasi ya unyekiti wa Kitongoji cha Magomeni 'B' kwa tiketi ya CCM, Rajabu Maliki (M'baga) Akisindikizwa na Mpambe wake, Kada, Hamisi Tosha, wakati wa kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo hapo jana, Tarehe 23 January 2017.

No comments:

Post a Comment