Monday, January 16, 2017

MWILI WA MWANDISHI AMINA KUWASILI DAR NA KUELEKEA TANGA.

ami
Mwili wa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la uhuru na mzalendo Amina Athuman ukisafirishwa asubuhi hii na boti ya Kilimanjaro kuelekea Dar es Salaam na utasafirishwa tena kijijini kwao Lushoto kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika siku ya jumanne mchana. 

Marehemu alikuwa Zanzibar kikazi akiripori habari za michezo Kombe la Mapinduzi aliugua uchungu na  baada ya kujifungua mtoto wa kiume kwa bahati mbaya mtoto amefariki baada ya kuzaliwa na yeye akapata kifafa cha uzazi na kufariki jana asubuhi. Mwenyenzi mungu ampe kauli thabiti na amsamehe madhambi yake Ameen

No comments:

Post a Comment