Thursday, November 16, 2017

JK. AONGOZA MAHAFALI YA 10 DUCE.


Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa mahafali akiongozana na viongozi wengine wa Chuo Kikuu kishirikishi cha Elimu Dar es Salaam jana katika mahafali ya 10.
 Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwatunukia wahitimu wa ngazi mbalimbali katika mahafali ya 10 ya Chuo Kikuu Kishirikishi cha Elimu Dar es Salaam yaliyofanyika jana Jijinj Dar es Salaam.
 Mhitimu bora Emanuel Safari Dadi akitoa neno la Shukrani kwa niaba ya wahitimu wote.
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu  Dar es Salaam Peter Ngumbulu (Kulia), Rais wa Chuo Kikuu Kishirikishi cha Elimu Dar es Salaam Prof William Anangisye, Mlau wa Chuo Kikuu Kishirikishi Cha Elimu Dar es Salaam Prof. Martha Qorro na wajumbe wengine katika mahafali ya 10 yaliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.
Wahitimu wakitoa kiapo cha utii na ahadi katika kulitumikia taifa na kulikuza

No comments:

Post a Comment