Tuesday, August 15, 2017

RIDHIWANI KIKWETE AIZURU FAMILIA YA MAREHEMU NDESAMBURO MOSHI.

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete akitia saini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Philimoni Ndesamburo kwa lengo la kutoa pole katika msiba uliotokea hivi karibuni.

Marehemu Philimoni Ndesamburo alikuwa muasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge mstaafu wa jimbo la Moshi.
  
 Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwetea, alipozuru kaburi la muasisi wa CHADEMA na Mbunge mstaafu wa jimbo la Moshi Philimon Ndesamburo.
 
 Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwetea,akiwa na familia ya marehemu Philimon Ndesamburo.

No comments:

Post a Comment