Tuesday, August 15, 2017

RC NDIKILOI ATEMBELEA VIWANDA VILIVYOBINAFSISHWA PWANI.

Image may contain: 4 people, people standing
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akikagua kiwanda kilichobinafsishwa cha Blankets and Textile Manufactures (1998) Ltd kilichopo Wilayani Mkuranga, Mkoani humo. 
 Image may contain: 1 person, standing, sitting and indoor
Baadhi ya bidhaa zilizokuwa zikizalishwa katika kiwanda hicho wakati kilipokuwa kinafanya kazi.
No automatic alt text available.
No automatic alt text available.
Mitambo ya kiwanda cha Blankets and Textile Manufactures (1998) Ltd ikiwa imepata kutu baada ya kukaa muda mrefu bila ya kufanya kazi.
Image may contain: one or more people, people standing, sky, outdoor and nature
Majengo ya kiwanda cha Pugu Kaolin Mines Ltd kilichopo Kisarawe Mkoani Pwani, ambacho kwa sasa hakifanyi kazi, Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi, Evarist Ndikilo alifika kujionea hali ilivyo kiwandani hapo na kuangalia namna kukifufua katika mkakati wa kufufua viwanda vyote mkoani Pwani.
 Image may contain: one or more people, people standing, mountain, outdoor and nature 
Hali ilivyo katika kiwanda cha Pugu Kaolin Mines Ltd kilichopo Kisarawe Mkoani Pwani, ambacho kwa sasa hakifanyi kazi, Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi, Evarist Ndikilo alifika kujionea hali ilivyo kiwandani hapo.
Image may contain: house, sky, tree, bridge, outdoor and nature

No comments:

Post a Comment