Tuesday, October 3, 2023

NDEGE MPYA YA ABIRIA YAWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE.

 



Ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 yenye uwezo wa kubeba abiria 181 ikiwasili nchini kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

No comments:

Post a Comment