Sunday, December 3, 2017

RASMI, VIGAE KUZALISHWA WILAYANI BAGAMOYO.



Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist  Ndikilo (katikati) mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid Hemed Mwanga wa kwanza kulia, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze Saidi zikatimu wa kwanza kushoto pamoja na wamiliki wa kiwanda hicho cha kutengeneza vigae (tiles) za chini na ukutani Kiwanda hicho kipo Halmashauri ya Chalinze wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist  Ndikilo (katikati) mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid Hemed Mwanga wa tatukulia, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze Saidi zikatimu wa pili kushoto pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Bagamoyo wakiwa katika kiwanda hicho cha kutengeneza vigae (tiles) za chini na ukutani Kiwanda hicho kipo Halmashauri ya Chalinze wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

No comments:

Post a Comment