Tuesday, September 24, 2024

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MTYANGIMBOLE KWA NIABA YA MIRADI 30 YA MAJI MKOA WA RUVUMA.

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan leo September 24,2023 ameweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Maji Mtyangimbole Wilaya ya Madaba Mkoani Ruvuma kwa niaba ya Miradi 30 ya Maji inayotekelezwa Mkoani humo.

Mradi wa tank la Maji Mtyangimbole una uwezo wa kupokea Lita milioni 1.9 na utahudumia Wananchi takribani 14,000.













No comments:

Post a Comment