Amiri wa Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Sheikh Ally Zubeir.
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, akiongea kwenye Mkutano huo ambae alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam.
...............................
Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) limetoa tamko kuelekea uchaguzi mkuu, unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu 2025.
Tamko hilo la BASUTA limetolewa katika Mkutano wake Mkuu uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Juliasi Nyerere jijini Dar es salaam siku ya tarehe 11 Oktoba 2025.






No comments:
Post a Comment