Saturday, October 14, 2023
Friday, October 13, 2023
Thursday, October 12, 2023
HAKUNA HUDUMA YA UMEME WALA MAJI GAZA.
Waziri wa Nishati wa Israel, Israel Katz anasema Israeli haitaacha kuizingira Gaza hadi mateka wa Israel waachiliwe.
Katika chapisho la mitandao ya kijami Katz alisema hakuna "swichi ya umeme itawashwa, hakuna bomba la maji litakalofunguliwa na hakuna lori la mafuta litakaloingia" hadi "mateka" wawe huru.
Israel ilisimamisha usambazaji wa bidhaa kwa Ukanda wa Gaza baada ya mashambulizi ya Hamas siku ya Jumamosi.
BBC SWAHILI
Subscribe to:
Comments (Atom)






















































