RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 9 WA CDF NA MAKAMANDA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekufungua mkutano wa 9 wa CDF na Makamanda uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga leo tarehe 15 Desemba 2025.
No comments:
Post a Comment